Thursday, December 17, 2009

Shughuli ipo..........

Mwanamke mmoja wa nchini Marekani maisha yake yamebadilika baada ya kupata ajali ambayo imesababisha awe na hamu ya kufanya mapenzi muda wote. Msuguano wa nguo na mwili wake husababisha awe kwenye kilele cha mapenzi bila hata kuguswa na mwanaume yoyote.

Kutokana na ajali ya gari ambayo ilisababisha madhara kwenye mishipa ya fahamu inayokatiza kwenye nyonga yake, Joleen Baughman mwenye umri wa miaka 39 amekuwa akikabiliwa na hali ambayo humtesa masaa 24 ya kila siku.
Ajali hiyo iliyotokea miaka miwili iliyopita, ilisababisha mshipa wa fahamu uliopo kwenye nyonga ambao husimamia matamanio ya kimapenzi ya binadamu uwe kama umeachiliwa kufanya kazi muda wote.

kwa taarifa zaidi.... bofya http://nifahamishe.com

No comments: