MH. ZITTO KABWE,NIKIWA NAYE SIKU YA YLTP ALUMINS DAY AMBAYO ILIKUWA NI SIKU MUHIMU KWA WALIOSOMA KATIKA TAASISI YA UJERUMANI KOZI YA UONGOZI MIMI NI MWANAFUNZI WA MWAKA HUU.
Sikumbuki kama nilimwomba achukue kadi ya CHADEMA. Sasa umenikumbusha, jamani michuzi junior na Ndekia ninaomba mniunge mkono kuondoa ukiritimba wa chama kimoja nchini (Ending Single Party Dominance) ilii kuliimarisha bunge.
2 comments:
naona hapo Mh.Zitto alikwambia kuwa baada ya kumaliza kutwangwa hii picha ni lazima uchukue kadi ya Chadema.
haha ahaha ahaha ahah ahahh ahaha ahah
pamoja mkuu.
Sikumbuki kama nilimwomba achukue kadi ya CHADEMA. Sasa umenikumbusha, jamani michuzi junior na Ndekia ninaomba mniunge mkono kuondoa ukiritimba wa chama kimoja nchini (Ending Single Party Dominance) ilii kuliimarisha bunge.
Post a Comment