Saturday, June 14, 2008

waziri wa fedha wa enzi hizo mh. amir jamal akiwasili bungeni ukumbi wa karimjee hall kusomba hotuba ya makadirio ya bajeti mwaka 1970/71 naona stahili hii ya kunyakua kamkoba juu na kutua na limo hadi mlangoni kameanzia mbaaaaali. mambo ya; http://issamichuzi.blogspot.com

No comments: